2
Madaktari Bingwa
3
Wagonjwa
2
Makala za Elimu
4
Mazungumzo

Makala za Elimu

Soma makala za kina kutoka kwa wataalamu wa afya kuhusu magonjwa, kinga na matibabu.

  • Makala za kisayansi
  • Vidokezo vya afya
  • Habari za matibabu
  • Elimu ya kinga
Soma Sasa

Video za Elimu

Tazama video za elimu ya afya kutoka kwa wataalam.

  • Mafunzo ya vitendo
  • Mahojiano na wataalam
  • Ufafanuzi wa magonjwa
  • Mapishi ya lishe bora
Tazama Sasa

Lishe na Mazoezi

Pata mwongozo wa lishe bora na mazoezi ya afya kutoka kwa wataalam wa lishe.

  • Mipango ya lishe
  • Mazoezi ya nyumbani
  • Vidokezo vya kupunguza uzito
  • Makala za lishe
Jifunze Zaidi

Lishe na Mazoezi

Pata mwongozo wa lishe bora na mazoezi ya afya kutoka kwa wataalam wa lishe.

  • Mipango ya lishe
  • Mazoezi ya nyumbani
  • Vidokezo vya kupunguza uzito
  • Makala za lishe
Jifunze Zaidi

Jinsi Huduma Zetu Zinavyofanya Kazi

1

Jisajili

Jisajili kwa urahisi kwa kujaza taarifa zako binafsi na za akaunti. Chagua aina ya akaunti yako.

2

Lipa (kwa chat)

Lipa Tsh 2,000 kwa mwezi kupata huduma ya chat na daktari. Malipo yanaweza kufanywa kwa M-Pesa, Tigo Pesa au Benki.

3

Wasiliana

Anza kuzungumza na daktari na upate ushauri wa kitaalamu. Unaweza kutuma picha na nyaraka za matibabu.

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara

Je, ninawezaje kuanza kutumia huduma?
Jisajili kwa kuchagua aina ya akaunti (mgonjwa, daktari au mtaalam). Kama ni mgonjwa, unaweza kuanza kutumia huduma za bure mara moja. Kwa huduma ya chat, utahitaji kulipa Tsh 2,000 kwa mwezi.
Je, ninawezaje kuanza kutumia huduma?
Jisajili kwa kuchagua aina ya akaunti (mgonjwa, daktari au mtaalam). Kama ni mgonjwa, unaweza kuanza kutumia huduma za bure mara moja. Kwa huduma ya chat, utahitaji kulipa Tsh 2,000 kwa mwezi.
Je, malipo yanafanywaje?
Malipo yanaweza kufanywa kwa M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, au benki. Baada ya malipo, pakia risiti kwenye akaunti yako na itathibitishwa na admin ndani ya muda mfupi.
Je, malipo yanafanywaje?
Malipo yanaweza kufanywa kwa M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, au benki. Baada ya malipo, pakia risiti kwenye akaunti yako na itathibitishwa na admin ndani ya muda mfupi.
Je, ninapata ushauri wa haraka kiasi gani?
Madaktari wetu hujibu ndani ya muda wa dakika 30-60, kulingana na wakati wao wa kazi. Unaweza kuona madaktari walio mtandaoni na kupata majibu ya haraka zaidi.
Je, ninapata ushauri wa haraka kiasi gani?
Madaktari wetu hujibu ndani ya muda wa dakika 30-60, kulingana na wakati wao wa kazi. Unaweza kuona madaktari walio mtandaoni na kupata majibu ya haraka zaidi.
Je, taarifa zangu ni salama?
Ndiyo, tunatumia usimbaji fiche (encryption) na sera kali za faragha kulinda taarifa zako za matibabu. Taarifa zako hazitolewi kwa mtu yeyote bila idhini yako.
Je, taarifa zangu ni salama?
Ndiyo, tunatumia usimbaji fiche (encryption) na sera kali za faragha kulinda taarifa zako za matibabu. Taarifa zako hazitolewi kwa mtu yeyote bila idhini yako.
Je, nahitaji vifaa gani maalum?
Unachohitaji ni simu au kompyuta yenye mtandao na browser. Huduma zetu zinafanya kazi kwenye vifaa vyote - simu, kompyuta na tablet.
Je, nahitaji vifaa gani maalum?
Unachohitaji ni simu au kompyuta yenye mtandao na browser. Huduma zetu zinafanya kazi kwenye vifaa vyote - simu, kompyuta na tablet.
Je, ninaweza kuwa daktari kwenye jukwaa lenu?
Ndiyo, unaweza kujiandikisha kama daktari. Utahitaji kupakia leseni yako na nyaraka zingine. Maombi yako yatakaguliwa na kuthibitishwa na admin.
Je, ninaweza kuwa daktari kwenye jukwaa lenu?
Ndiyo, unaweza kujiandikisha kama daktari. Utahitaji kupakia leseni yako na nyaraka zingine. Maombi yako yatakaguliwa na kuthibitishwa na admin.
what
whatiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii